22 “Ikiwa mwanamume atapatikana akilala na mwanamke aliye na mume,+ wote wawili watauawa pamoja, yule mwanamume anayelala na mwanamke pamoja na huyo mwanamke.+ Kwa hiyo lazima utaondolea mbali lililo baya kutoka katika Israeli.+
32 si kama lile agano ambalo nilifanya pamoja na mababu zao katika ile siku nilipowashika mkono na kuwatoa katika nchi ya Misri,+ ‘agano langu ambalo wao walilivunja,+ ingawa mimi mwenyewe nilikuwa mume kwao,’+ asema Yehova.”
38 Kwa maana kama vile walivyokuwa katika siku hizo kabla ya gharika, wakila na kunywa, wanaume wakioa na wanawake wakiolewa, mpaka siku ambayo Noa+ aliingia ndani ya safina;+