Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 3:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Akamwambia mwanamke: “Nitazidisha sana maumivu ya mimba yako;+ kwa uchungu utazaa watoto,+ na tamaa yako itakuwa kwa mume wako, naye atakutawala.”+

  • Kumbukumbu la Torati 22:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 “Ikiwa mwanamume atapatikana akilala na mwanamke aliye na mume,+ wote wawili watauawa pamoja, yule mwanamume anayelala na mwanamke pamoja na huyo mwanamke.+ Kwa hiyo lazima utaondolea mbali lililo baya kutoka katika Israeli.+

  • Yeremia 31:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 si kama lile agano ambalo nilifanya pamoja na mababu zao katika ile siku nilipowashika mkono na kuwatoa katika nchi ya Misri,+ ‘agano langu ambalo wao walilivunja,+ ingawa mimi mwenyewe nilikuwa mume kwao,’+ asema Yehova.”

  • Yoeli 1:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Ombolezeni, kama bikira aliyevikwa nguo za magunia+ anavyoomboleza kwa ajili ya mume wa ujana wake.

  • Mathayo 24:38
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 Kwa maana kama vile walivyokuwa katika siku hizo kabla ya gharika, wakila na kunywa, wanaume wakioa na wanawake wakiolewa, mpaka siku ambayo Noa+ aliingia ndani ya safina;+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki