Kumbukumbu la Torati 32:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Kwa maana Yehova atawahukumu watu wake+Naye atajuta juu ya watumishi wake,+Kwa sababu ataona kwamba tegemeo limetowekaNa aliyeko tu ni mtu asiye na uwezo na asiye na thamani. 2 Samweli 22:41 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 41 Nao adui zangu, utanipa upande wa nyuma wa shingo yao;+Wale wanaonichukia vikali—nitawanyamazisha pia.+ Zaburi 30:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Umenibadilishia maombolezo yangu yakawa kucheza dansi;+Umefungua nguo yangu ya gunia, nawe unaendelea kunifunga shangwe,+
36 Kwa maana Yehova atawahukumu watu wake+Naye atajuta juu ya watumishi wake,+Kwa sababu ataona kwamba tegemeo limetowekaNa aliyeko tu ni mtu asiye na uwezo na asiye na thamani.
41 Nao adui zangu, utanipa upande wa nyuma wa shingo yao;+Wale wanaonichukia vikali—nitawanyamazisha pia.+
11 Umenibadilishia maombolezo yangu yakawa kucheza dansi;+Umefungua nguo yangu ya gunia, nawe unaendelea kunifunga shangwe,+