Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 32:36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 Kwa maana Yehova atawahukumu watu wake+

      Naye atajuta juu ya watumishi wake,+

      Kwa sababu ataona kwamba tegemeo limetoweka

      Na aliyeko tu ni mtu asiye na uwezo na asiye na thamani.

  • 2 Samweli 22:41
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 41 Nao adui zangu, utanipa upande wa nyuma wa shingo yao;+

      Wale wanaonichukia vikali​—​nitawanyamazisha pia.+

  • Zaburi 30:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Umenibadilishia maombolezo yangu yakawa kucheza dansi;+

      Umefungua nguo yangu ya gunia, nawe unaendelea kunifunga shangwe,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki