Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 18:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Anaifundisha mikono yangu kupigana vita,+

      Na mikono yangu imepinda upinde wa shaba.+

  • Zaburi 18:47
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 47 Mungu wa kweli ndiye Mpaji wa matendo ya kisasi kwangu;+

      Naye hutiisha vikundi vya watu chini yangu.+

  • Mika 5:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Na mabaki ya Yakobo watakuwa kati ya mataifa, katikati ya makabila mengi ya watu, kama simba katikati ya wanyama wa msituni, kama mwana-simba mwenye manyoya shingoni katikati ya makundi ya kondoo, ambaye, anapopita kati, hukanyaga-kanyaga na pia hurarua vipande-vipande;+ wala hakuna mkombozi.

  • 2 Wathesalonike 1:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Hii inazingatia kwamba ni jambo la uadilifu kwa upande wa Mungu kuwalipa dhiki wale wanaowafanyia ninyi dhiki,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki