14 Jioni alikuwa akiingia, na asubuhi alikuwa akirudi katika nyumba ya pili ya wanawake iliyosimamiwa na Shaashgazi towashi wa mfalme,+ mlinzi wa masuria. Hakuwa akiingia tena kwa mfalme ila mfalme awe alipendezwa naye na aitwe kwa jina lake.+
4 Na wanawake vijana wa Esta na matowashi+ wake wakaingia na kumpa habari. Na malkia akaumia sana. Kisha akaagiza mavazi ya kumvika Mordekai yapelekwe na nguo zake za magunia zivuliwe. Naye hakuyakubali.+