1 Wafalme 18:45 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 45 Na ikawa kwamba wakati huo mbingu zikatiwa giza kwa mawingu na upepo+ na mvua kubwa sana ikaanza kunyesha.+ Na Ahabu akaendelea kupanda gari, akaenda zake Yezreeli.+ Yakobo 5:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Naye akasali tena, na mbingu ikatoa mvua na nchi ikazaa matunda yake.+
45 Na ikawa kwamba wakati huo mbingu zikatiwa giza kwa mawingu na upepo+ na mvua kubwa sana ikaanza kunyesha.+ Na Ahabu akaendelea kupanda gari, akaenda zake Yezreeli.+