Zaburi 40:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Wewe mwenyewe umefanya mambo mengi,+Ee Yehova Mungu wangu, naam, kazi zako za ajabu na mawazo yako kutuelekea;+Hakuna wa kulinganishwa nawe.+Ikiwa ningetaka kueleza na kusema juu yake,Zimekuwa nyingi sana kuliko vile ninavyoweza kusimulia.+ Zaburi 72:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Na abarikiwe Yehova Mungu, Mungu wa Israeli,+Ambaye peke yake anafanya kazi za ajabu.+ Waroma 11:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Lo! Jinsi kilivyo kina cha utajiri+ wa Mungu na hekima+ na ujuzi!+ Jinsi hukumu+ zake zisivyochunguzika na njia zake zisivyotafutika!
5 Wewe mwenyewe umefanya mambo mengi,+Ee Yehova Mungu wangu, naam, kazi zako za ajabu na mawazo yako kutuelekea;+Hakuna wa kulinganishwa nawe.+Ikiwa ningetaka kueleza na kusema juu yake,Zimekuwa nyingi sana kuliko vile ninavyoweza kusimulia.+
33 Lo! Jinsi kilivyo kina cha utajiri+ wa Mungu na hekima+ na ujuzi!+ Jinsi hukumu+ zake zisivyochunguzika na njia zake zisivyotafutika!