Zaburi 10:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Ee Yehova, kwa nini unaendelea kusimama mbali?+Kwa nini unaendelea kujificha nyakati za taabu?+ Zaburi 13:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Utanisahau mpaka wakati gani, Ee Yehova?+ Milele?+Utanificha uso wako mpaka wakati gani?+ Zaburi 44:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Kwa nini unaendelea kuuficha uso wako?Kwa nini unasahau mateso yetu na ukandamizaji wetu?+