Zaburi 104:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Na divai ambayo hufanya moyo wa mwanadamu anayeweza kufa ushangilie,+Kuufanya uso ung’ae kwa mafuta,+Na mkate unaotegemeza moyo wa mwanadamu anayeweza kufa.+ Mhubiri 9:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Nenda, ukale chakula chako kwa kushangilia na kunywa divai yako kwa moyo mchangamfu,+ kwa sababu tayari Mungu wa kweli amependezwa na kazi zako.+ Mhubiri 10:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Mkate ni kwa ajili ya kicheko cha wafanyakazi, na divai hufanya maisha yafurahishe;+ lakini pesa ndizo hutokeza jibu katika mambo yote.+
15 Na divai ambayo hufanya moyo wa mwanadamu anayeweza kufa ushangilie,+Kuufanya uso ung’ae kwa mafuta,+Na mkate unaotegemeza moyo wa mwanadamu anayeweza kufa.+
7 Nenda, ukale chakula chako kwa kushangilia na kunywa divai yako kwa moyo mchangamfu,+ kwa sababu tayari Mungu wa kweli amependezwa na kazi zako.+
19 Mkate ni kwa ajili ya kicheko cha wafanyakazi, na divai hufanya maisha yafurahishe;+ lakini pesa ndizo hutokeza jibu katika mambo yote.+