Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 7:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Tazama! Kuna mtu aliye na mimba ya jambo lenye kuumiza,+

      Naye amechukua mimba ya taabu na hatakosa kuzaa uwongo.+

  • Isaya 59:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Hakuna anayeita katika uadilifu,+ wala hakuna yeyote ambaye ameenda mahakamani katika uaminifu. Jambo lisilo la kweli limetegemewa,+ na ubatili umesemwa.+ Taabu imetungwa mimba, na madhara yamezaliwa.+

  • Yakobo 1:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Kisha tamaa, wakati imetunga mimba, huzaa dhambi;+ nayo dhambi, wakati imetimizwa, huleta kifo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki