Zaburi 7:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Tazama! Kuna mtu aliye na mimba ya jambo lenye kuumiza,+Naye amechukua mimba ya taabu na hatakosa kuzaa uwongo.+ Isaya 59:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Hakuna anayeita katika uadilifu,+ wala hakuna yeyote ambaye ameenda mahakamani katika uaminifu. Jambo lisilo la kweli limetegemewa,+ na ubatili umesemwa.+ Taabu imetungwa mimba, na madhara yamezaliwa.+ Yakobo 1:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kisha tamaa, wakati imetunga mimba, huzaa dhambi;+ nayo dhambi, wakati imetimizwa, huleta kifo.+
14 Tazama! Kuna mtu aliye na mimba ya jambo lenye kuumiza,+Naye amechukua mimba ya taabu na hatakosa kuzaa uwongo.+
4 Hakuna anayeita katika uadilifu,+ wala hakuna yeyote ambaye ameenda mahakamani katika uaminifu. Jambo lisilo la kweli limetegemewa,+ na ubatili umesemwa.+ Taabu imetungwa mimba, na madhara yamezaliwa.+