Zaburi 58:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Nao wanadamu watasema:+ “Kwa kweli kuna matunda kwa ajili ya mwadilifu.+Kwa kweli kuna Mungu ambaye anahukumu duniani.”+ Mathayo 7:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 “Acheni kuhukumu+ ili msihukumiwe; Waroma 14:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Wewe ni nani ili umhukumu mtumishi wa nyumbani wa mwingine?+ Kwa bwana wake mwenyewe yeye husimama au kuanguka.+ Kwa kweli, atasimamishwa, kwa maana Yehova anaweza kumsimamisha. + Yakobo 4:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kuna mmoja ambaye ni mpaji-sheria na mwamuzi,+ ambaye anaweza kuokoa na kuangamiza.+ Lakini wewe ni nani ili uwe ukimhukumu jirani yako?+
11 Nao wanadamu watasema:+ “Kwa kweli kuna matunda kwa ajili ya mwadilifu.+Kwa kweli kuna Mungu ambaye anahukumu duniani.”+
4 Wewe ni nani ili umhukumu mtumishi wa nyumbani wa mwingine?+ Kwa bwana wake mwenyewe yeye husimama au kuanguka.+ Kwa kweli, atasimamishwa, kwa maana Yehova anaweza kumsimamisha. +
12 Kuna mmoja ambaye ni mpaji-sheria na mwamuzi,+ ambaye anaweza kuokoa na kuangamiza.+ Lakini wewe ni nani ili uwe ukimhukumu jirani yako?+