Isaya 14:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwa habari yako, wewe umesema moyoni mwako, ‘Nitaenda juu mbinguni.+ Nitakiinua kiti changu cha ufalme+ juu ya nyota+ za Mungu, nami nitaketi juu ya mlima wa mkutano,+ katika sehemu za mbali zaidi za kaskazini.+ Amosi 9:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Wakichimba chini kuingia katika Kaburi,* toka humo mkono wangu mwenyewe utawachukua;+ nao wakienda juu mbinguni, toka huko nitawashusha chini.+ Obadia 4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Ukipafanya mahali pako pawe juu kama tai, au ikiwa kiota chako kingewekwa kati ya nyota, ningekushusha chini kutoka hapo,”+ asema Yehova.
13 Kwa habari yako, wewe umesema moyoni mwako, ‘Nitaenda juu mbinguni.+ Nitakiinua kiti changu cha ufalme+ juu ya nyota+ za Mungu, nami nitaketi juu ya mlima wa mkutano,+ katika sehemu za mbali zaidi za kaskazini.+
2 Wakichimba chini kuingia katika Kaburi,* toka humo mkono wangu mwenyewe utawachukua;+ nao wakienda juu mbinguni, toka huko nitawashusha chini.+
4 Ukipafanya mahali pako pawe juu kama tai, au ikiwa kiota chako kingewekwa kati ya nyota, ningekushusha chini kutoka hapo,”+ asema Yehova.