Ayubu 27:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Hilo ndilo fungu la mtu mwovu kutoka kwa Mungu;+Na urithi wa waonevu watapokea kutoka kwa Mweza-Yote mwenyewe. Ayubu 31:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Je, hakuna msiba kwa mkosaji,+Na maafa kwa wale wanaozoea kufanya madhara? Methali 10:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kumbukumbu la mwadilifu litabarikiwa,+ lakini jina la waovu litaoza.+
13 Hilo ndilo fungu la mtu mwovu kutoka kwa Mungu;+Na urithi wa waonevu watapokea kutoka kwa Mweza-Yote mwenyewe.