12 Na kutakuwa na kinubi na kinanda, tari na filimbi, na divai katika karamu zao;+ lakini hawauangalii utendaji wa Yehova, wala hawakuiona kazi ya mikono yake.+
13 Lakini, tazama! furaha na shangwe, kuchinja ng’ombe na kuchinja kondoo, kula nyama na kunywa divai,+ ‘Na tule na tunywe, kwa maana kesho tutakufa.’”+