Mhubiri 8:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa maana hukumu juu ya kazi mbaya haikutekelezwa upesi,+ ndiyo sababu moyo wa wana wa binadamu umeazimia kabisa ndani yao kutenda yaliyo mabaya.+ Isaya 56:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 “Njooni! Acheni nichukue divai kidogo; na acheni tunywe kileo kupindukia.+ Na kesho hakika itakuwa tu kama leo, sikukuu yenye kupita kiasi.”+ Luka 12:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 nami nitaiambia+ nafsi yangu: “Nafsi yangu, una vitu vyema vingi vilivyokusanywa kwa miaka mingi; starehe, ule, unywe, na kujifurahisha.” ’+
11 Kwa maana hukumu juu ya kazi mbaya haikutekelezwa upesi,+ ndiyo sababu moyo wa wana wa binadamu umeazimia kabisa ndani yao kutenda yaliyo mabaya.+
12 “Njooni! Acheni nichukue divai kidogo; na acheni tunywe kileo kupindukia.+ Na kesho hakika itakuwa tu kama leo, sikukuu yenye kupita kiasi.”+
19 nami nitaiambia+ nafsi yangu: “Nafsi yangu, una vitu vyema vingi vilivyokusanywa kwa miaka mingi; starehe, ule, unywe, na kujifurahisha.” ’+