Ayubu 28:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Naye akamwambia mwanadamu,‘Tazama! Kumwogopa Yehova—hiyo ndiyo hekima,+Na kuacha ubaya ni uelewaji.’”+ Methali 2:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa maana Yehova mwenyewe anatoa hekima;+ kinywani mwake hutoka ujuzi na utambuzi.+ Yakobo 1:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa hiyo, ikiwa yeyote kati yenu anakosa hekima,+ na aendelee kumwomba Mungu,+ kwa maana yeye huwapa wote kwa ukarimu na bila kushutumu;+ naye atapewa hiyo.+
28 Naye akamwambia mwanadamu,‘Tazama! Kumwogopa Yehova—hiyo ndiyo hekima,+Na kuacha ubaya ni uelewaji.’”+
5 Kwa hiyo, ikiwa yeyote kati yenu anakosa hekima,+ na aendelee kumwomba Mungu,+ kwa maana yeye huwapa wote kwa ukarimu na bila kushutumu;+ naye atapewa hiyo.+