4 Ni nani ambaye amepanda mbinguni ili apate kushuka?+ Ni nani ambaye amekusanya upepo+ katika makonzi yake mawili? Ni nani ambaye ameyafunga maji ndani ya nguo ya kujitanda?+ Ni nani ambaye amefanya miisho yote ya dunia iinuke?+ Jina lake ni nani+ nalo jina la mwana wake ni nani, ikiwa unajua?+
20 Kwa maana sifa zake ambazo hazionekani,+ zinaonekana waziwazi tangu kuumbwa kwa ulimwengu na kuendelea,+ kwa sababu zinaeleweka kwa vitu vilivyofanywa,+ yaani, nguvu zake za milele+ na Uungu,+ hivi kwamba hawana sababu ya kujitetea.+