Zaburi 2:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Acheni nirejezee agizo la Yehova;Yeye ameniambia: “Wewe ni mwanangu;+Mimi, leo, nimekuwa baba yako.+ Mathayo 1:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Yeye atazaa mwana, nawe lazima umwite jina lake Yesu,+ kwa maana ataokoa+ watu wake+ kutoka katika dhambi zao.”+ Yohana 5:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Kwa maana Baba hamhukumu mtu yeyote hata kidogo, bali amemkabidhi Mwana kazi yote ya kuhukumu,+ Matendo 4:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Zaidi ya hayo, hakuna wokovu katika mwingine yeyote, kwa maana hakuna jina+ lingine chini ya mbingu walilopewa wanadamu ambalo kupitia hilo lazima sisi tupate kuokolewa.”+ Wafilipi 2:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 ambaye, ingawa alikuwa katika umbo la Mungu,+ hakufikiria kufanya unyakuzi, yaani, kwamba yeye awe sawa na Mungu.+ 1 Timotheo 2:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa maana kuna Mungu mmoja,+ na mpatanishi+ mmoja kati ya Mungu+ na wanadamu,+ mwanadamu, Kristo Yesu,+ Waebrania 6:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 ambamo mtangulizi ameingia kwa ajili yetu,+ Yesu, ambaye amekuwa kuhani mkuu milele kwa mfano wa Melkizedeki.+ Ufunuo 19:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Na juu ya vazi lake la nje, juu ya paja lake, ana jina ambalo limeandikwa, Mfalme wa wafalme na Bwana wa mabwana.+
7 Acheni nirejezee agizo la Yehova;Yeye ameniambia: “Wewe ni mwanangu;+Mimi, leo, nimekuwa baba yako.+
21 Yeye atazaa mwana, nawe lazima umwite jina lake Yesu,+ kwa maana ataokoa+ watu wake+ kutoka katika dhambi zao.”+
12 Zaidi ya hayo, hakuna wokovu katika mwingine yeyote, kwa maana hakuna jina+ lingine chini ya mbingu walilopewa wanadamu ambalo kupitia hilo lazima sisi tupate kuokolewa.”+
6 ambaye, ingawa alikuwa katika umbo la Mungu,+ hakufikiria kufanya unyakuzi, yaani, kwamba yeye awe sawa na Mungu.+
5 Kwa maana kuna Mungu mmoja,+ na mpatanishi+ mmoja kati ya Mungu+ na wanadamu,+ mwanadamu, Kristo Yesu,+
20 ambamo mtangulizi ameingia kwa ajili yetu,+ Yesu, ambaye amekuwa kuhani mkuu milele kwa mfano wa Melkizedeki.+
16 Na juu ya vazi lake la nje, juu ya paja lake, ana jina ambalo limeandikwa, Mfalme wa wafalme na Bwana wa mabwana.+