Mwanzo 25:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kisha Abrahamu akakata pumzi, akafa katika umri mwema wa uzee, akiwa mzee na mwenye kutosheka, naye akakusanywa kwa watu wake.+ 2 Wafalme 22:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 “Ndiyo sababu tazama, nitakukusanya+ wewe kwa mababu zako, nawe hakika utakusanywa kwenye uwanja wa kaburi lako kwa amani,+ na macho yako hayatauona msiba wote ninaouleta juu ya mahali hapa.”’” Nao wakamletea mfalme jibu lile. Ayubu 42:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Na mwishowe Ayubu akafa, akiwa mzee na mwenye kushiba siku.+
8 Kisha Abrahamu akakata pumzi, akafa katika umri mwema wa uzee, akiwa mzee na mwenye kutosheka, naye akakusanywa kwa watu wake.+
20 “Ndiyo sababu tazama, nitakukusanya+ wewe kwa mababu zako, nawe hakika utakusanywa kwenye uwanja wa kaburi lako kwa amani,+ na macho yako hayatauona msiba wote ninaouleta juu ya mahali hapa.”’” Nao wakamletea mfalme jibu lile.