Ayubu 2:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Naye akajichukulia kigae cha udongo cha kujikunia; naye akawa akiketi katikati ya majivu.+ Ayubu 2:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Nao wakaendelea kuketi+ chini pamoja naye siku saba, mchana na usiku, wala hakuna yeyote aliyemwambia neno lolote, kwa maana waliona kwamba yale maumivu+ ni makali sana. Ayubu 7:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Wakati ninapolala chini nimesema, ‘Nitaamka wakati gani?’+Na jioni inapoisha, pia nimejawa na ukosefu wa utulivu mpaka mapambazuko ya asubuhi.
13 Nao wakaendelea kuketi+ chini pamoja naye siku saba, mchana na usiku, wala hakuna yeyote aliyemwambia neno lolote, kwa maana waliona kwamba yale maumivu+ ni makali sana.
4 Wakati ninapolala chini nimesema, ‘Nitaamka wakati gani?’+Na jioni inapoisha, pia nimejawa na ukosefu wa utulivu mpaka mapambazuko ya asubuhi.