Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 6:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Ee binti ya watu wangu, vaa nguo ya gunia+ na ugaegae katika majivu.+ Omboleza kama kumwombolezea mwana wa pekee, kilio cha uchungu;+ kwa sababu mporaji atakuja juu yetu kwa ghafula.+

  • Ezekieli 27:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Nao hakika watajiacha wasikiwe juu yako kwa sauti yao nao watapaaza kilio kwa uchungu.+ Nao watatia mavumbi juu ya vichwa vyao.+ Watagaagaa katika majivu.+

  • Yona 3:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Neno hilo lilipomfikia mfalme wa Ninawi,+ ndipo akasimama kutoka kwenye kiti chake cha ufalme, akavua vazi lake rasmi na kujifunika nguo za magunia na kuketi katika majivu.+

  • Yona 3:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Nao wajifunike nguo za magunia, mwanadamu na mnyama wa kufugwa; na wamwite Mungu kwa nguvu na warudi,+ kila mmoja kutoka katika njia yake mbaya na kutoka katika jeuri iliyokuwa mikononi mwao.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki