Methali 14:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Anayemdharau mwenzake anatenda dhambi,+ lakini mwenye furaha ni yule anayewaonyesha kibali wenye kuteseka.+ Methali 14:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Yeye anayempunja mtu wa hali ya chini amemletea shutuma Mtengenezaji wake,+ lakini anayemwonyesha maskini kibali anamtukuza Yeye.+ Methali 19:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Anayemwonyesha kibali mtu wa hali ya chini anamkopesha Yehova,+ na Yeye atamlipa matendo yake.+
21 Anayemdharau mwenzake anatenda dhambi,+ lakini mwenye furaha ni yule anayewaonyesha kibali wenye kuteseka.+
31 Yeye anayempunja mtu wa hali ya chini amemletea shutuma Mtengenezaji wake,+ lakini anayemwonyesha maskini kibali anamtukuza Yeye.+