Ayubu 10:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Ijapokuwa unajua kwamba mimi sina kosa,+Na hakuna yeyote anayekomboa kutoka mkononi mwako?+ Ayubu 16:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Ijapokuwa hakuna jeuri mikononi mwangu,Na sala yangu ni safi.+ Ayubu 23:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Mguu wangu umezishika hatua zake;Njia yake nimeishika, wala sigeuki kando.+