Kumbukumbu la Torati 34:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Naye Musa alikuwa na umri wa miaka 120 wakati wa kifo chake.+ Jicho lake halikuwa limeingia giza,+ na nguvu zake hazikuwa zimepotea.+ Ayubu 42:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Naye Ayubu akaendelea kuishi miaka 140+ baada ya mambo hayo, akaona wanawe na wajukuu wake+—vizazi vinne. Zaburi 103:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Anayeushibisha muda wote wa maisha yako kwa mambo mema;+Ujana wako unajifanya upya kama ule wa tai.+
7 Naye Musa alikuwa na umri wa miaka 120 wakati wa kifo chake.+ Jicho lake halikuwa limeingia giza,+ na nguvu zake hazikuwa zimepotea.+
16 Naye Ayubu akaendelea kuishi miaka 140+ baada ya mambo hayo, akaona wanawe na wajukuu wake+—vizazi vinne.
5 Anayeushibisha muda wote wa maisha yako kwa mambo mema;+Ujana wako unajifanya upya kama ule wa tai.+