Ayubu 35:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Na Ayubu mwenyewe hukifungua wazi kinywa chake bure tu;Anazidisha maneno matupu pasipo ujuzi.”+ Ayubu 38:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Ni nani huyu anayefunika shauriKwa maneno yasiyo na ujuzi?+ Ayubu 42:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 ‘Ni nani huyu anayefunika shauri bila ujuzi?’+Kwa hiyo nilisema, lakini sikuwa ninaelewaMambo yaliyo ya ajabu mno kwangu, ambayo siyajui.+
3 ‘Ni nani huyu anayefunika shauri bila ujuzi?’+Kwa hiyo nilisema, lakini sikuwa ninaelewaMambo yaliyo ya ajabu mno kwangu, ambayo siyajui.+