Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 35:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Na Ayubu mwenyewe hukifungua wazi kinywa chake bure tu;

      Anazidisha maneno matupu pasipo ujuzi.”+

  • Ayubu 38:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 “Ni nani huyu anayefunika shauri

      Kwa maneno yasiyo na ujuzi?+

  • Ayubu 42:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 ‘Ni nani huyu anayefunika shauri bila ujuzi?’+

      Kwa hiyo nilisema, lakini sikuwa ninaelewa

      Mambo yaliyo ya ajabu mno kwangu, ambayo siyajui.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki