Ayubu 34:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 ‘Ayubu mwenyewe anasema bila ujuzi,+Na katika maneno yake hana ufahamu.’ Ayubu 38:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Ni nani huyu anayefunika shauriKwa maneno yasiyo na ujuzi?+