Zaburi 146:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Roho yake hutoka,+ naye hurudi kwenye udongo wake;+Siku hiyo mawazo yake hupotea.+ Mhubiri 9:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Yote ambayo mkono wako unapata kufanya, yafanye kwa nguvu zako zote,+ kwa maana hakuna kazi, wala utungaji wala ujuzi+ wala hekima+ katika Kaburi,*+ mahali unapokwenda.+ Isaya 57:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Yeye huingia katika amani;+ wao hupumzika+ vitandani+ mwao, kila mmoja anayetembea kwa unyoofu.+
10 Yote ambayo mkono wako unapata kufanya, yafanye kwa nguvu zako zote,+ kwa maana hakuna kazi, wala utungaji wala ujuzi+ wala hekima+ katika Kaburi,*+ mahali unapokwenda.+