Zaburi 18:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Naye akanitoa nje mpaka mahali penye nafasi tele;+Alikuwa akiniokoa, kwa sababu alikuwa amependezwa nami.+ Zaburi 31:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Wala hujanitia mkononi mwa adui.+Umeisimamisha miguu yangu mahali penye nafasi tele.+ Zaburi 118:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kutoka katika hali zenye kutaabisha nilimwitia Yah;+Yah akanijibu na kuniweka katika mahali penye nafasi pana.+
19 Naye akanitoa nje mpaka mahali penye nafasi tele;+Alikuwa akiniokoa, kwa sababu alikuwa amependezwa nami.+
5 Kutoka katika hali zenye kutaabisha nilimwitia Yah;+Yah akanijibu na kuniweka katika mahali penye nafasi pana.+