Kutoka 15:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Wakati huo Musa na wana wa Israeli wakaanza kumwimbia Yehova wimbo huu na kusema yafuatayo:+“Acheni nimwimbie Yehova, kwa maana ametukuzwa sana.+Farasi na mpandaji wake amewatupa baharini.+ Ufunuo 15:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Nao wanaimba wimbo wa Musa+ mtumwa wa Mungu na wimbo wa Mwana-Kondoo,+ wakisema: “Matendo yako ni makuu na ya ajabu,+ Yehova Mungu, Mweza-Yote.+ Njia zako ni za uadilifu na za kweli,+ Mfalme wa umilele.+
15 Wakati huo Musa na wana wa Israeli wakaanza kumwimbia Yehova wimbo huu na kusema yafuatayo:+“Acheni nimwimbie Yehova, kwa maana ametukuzwa sana.+Farasi na mpandaji wake amewatupa baharini.+
3 Nao wanaimba wimbo wa Musa+ mtumwa wa Mungu na wimbo wa Mwana-Kondoo,+ wakisema: “Matendo yako ni makuu na ya ajabu,+ Yehova Mungu, Mweza-Yote.+ Njia zako ni za uadilifu na za kweli,+ Mfalme wa umilele.+