Methali 15:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Afadhali kuwa na vitu vichache pamoja na kumwogopa Yehova+ kuliko kuwa na vitu vingi pamoja na mvurugo.+ Mhubiri 2:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Kwa maana amempa mwanadamu aliye mwema mbele zake+ hekima na ujuzi na furaha,+ bali amempa mtenda-dhambi shughuli ya kukusanya na kuleta pamoja ili tu ampe mtu aliye mwema mbele za yule Mungu wa kweli.+ Hilo pia ni ubatili na kufuatilia upepo.+
16 Afadhali kuwa na vitu vichache pamoja na kumwogopa Yehova+ kuliko kuwa na vitu vingi pamoja na mvurugo.+
26 Kwa maana amempa mwanadamu aliye mwema mbele zake+ hekima na ujuzi na furaha,+ bali amempa mtenda-dhambi shughuli ya kukusanya na kuleta pamoja ili tu ampe mtu aliye mwema mbele za yule Mungu wa kweli.+ Hilo pia ni ubatili na kufuatilia upepo.+