2 Samweli 16:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Labda Yehova ataona+ kwa jicho lake, na Yehova atanirudishia wema badala ya laana yake leo hii.”+ Zaburi 39:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Na sasa, nimetumainia nini, Ee Yehova? Matarajio yangu yanakuelekea wewe.+ Zaburi 123:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Tazama! Kama vile macho ya watumishi yalivyo kuelekea mkono wa bwana wao,+Kama vile macho ya mjakazi yalivyo kuelekea mkono wa bimkubwa wake,+Ndivyo yalivyo macho yetu kumwelekea Yehova Mungu wetu.+Mpaka atuonyeshe kibali.+
2 Tazama! Kama vile macho ya watumishi yalivyo kuelekea mkono wa bwana wao,+Kama vile macho ya mjakazi yalivyo kuelekea mkono wa bimkubwa wake,+Ndivyo yalivyo macho yetu kumwelekea Yehova Mungu wetu.+Mpaka atuonyeshe kibali.+