20 Kwa maana nitawaleta katika nchi ambayo nimewaapia mababu zao,+ inayotiririka maziwa na asali,+ nao hakika watakula+ na kushiba na kunenepa+ na kuigeukia miungu mingine,+ nao kwa kweli wataitumikia na kunitendea bila heshima na kulivunja agano langu.+