14 Tazama unanifukuza leo kutoka usoni pa udongo, nami nitafichwa kutoka usoni pako;+ nami nitakuwa mwenye kutanga-tanga+ na mkimbizi duniani, na itakuwa kwamba yeyote atakayenikuta ataniua.”+
23 Hata hivyo, Yehova akawapa kibali+ na kuwaonea rehema+ na kuwageukia kwa ajili ya agano+ lake na Abrahamu,+ Isaka+ na Yakobo;+ naye hakutaka kuwaangamiza,+ wala hakuwatupilia mbali kutoka mbele za uso wake mpaka sasa.