Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 15:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Mara moja Daudi akawaambia watumishi wake wote waliokuwa pamoja naye katika Yerusalemu: “Simameni, tukimbie;+ kwa maana hatutaponyoka kwa sababu ya Absalomu! Nendeni upesi, asije akaharakisha, akatufikia na kututendea mabaya na kulipiga jiji kwa makali ya upanga!”+

  • Zaburi 7:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Ikiwa nimemlipa ubaya yule anayenipa thawabu,+

      Au ikiwa nimempora yeyote anayenionyesha uadui bila kufanikiwa,+

  • Matendo 12:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Karibu na wakati huo Mfalme Herode alitumia mikono yake kuwatendea vibaya+ baadhi ya wale wa kutaniko.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki