Zaburi 17:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Usikie jambo la uadilifu, Ee Yehova; Usikilize kwa makini kilio changu cha kusihi;+Tega sikio kwa sala yangu bila midomo ya udanganyifu.+ Zaburi 55:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 55 Utege sikio, Ee Mungu, kwa sala yangu;+Wala usijifiche kutoka kwa ombi langu la kutaka kibali.+ Wafilipi 4:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Msihangaike juu ya kitu chochote,+ bali katika kila jambo kwa sala na dua+ pamoja na kutoa shukrani maombi yenu na yajulishwe Mungu;+
17 Usikie jambo la uadilifu, Ee Yehova; Usikilize kwa makini kilio changu cha kusihi;+Tega sikio kwa sala yangu bila midomo ya udanganyifu.+
6 Msihangaike juu ya kitu chochote,+ bali katika kila jambo kwa sala na dua+ pamoja na kutoa shukrani maombi yenu na yajulishwe Mungu;+