Zaburi 56:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Juu yangu, Ee Mungu, kuna nadhiri zako.+Nitakutolea maneno ya shukrani.+ Zaburi 76:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Wekeni nadhiri na kumtimizia Yehova Mungu wenu, ninyi nyote mnaomzunguka pande zote.+Na walete zawadi kwa kuogopa.+ Zaburi 116:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Nadhiri zangu nitamtimizia Yehova,+Naam, mbele ya watu wake wote,+ Mhubiri 5:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Wakati wowote unapoweka nadhiri kwa Mungu, usisite kuitimiza,+ kwa maana hapendezwi na wajinga.+ Kile unachoweka nadhiri, timiza.+
11 Wekeni nadhiri na kumtimizia Yehova Mungu wenu, ninyi nyote mnaomzunguka pande zote.+Na walete zawadi kwa kuogopa.+
4 Wakati wowote unapoweka nadhiri kwa Mungu, usisite kuitimiza,+ kwa maana hapendezwi na wajinga.+ Kile unachoweka nadhiri, timiza.+