Zaburi 96:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Mbingu na zifurahi, na dunia ishangilie.+Bahari na ingurume na vitu vinavyoijaza.+ Isaya 35:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Nyika na nchi isiyo na maji itafurahi;+ na nchi tambarare ya jangwani itakuwa na shangwe na kuchanua maua kama zafarani.+ Matendo 14:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 ijapokuwa, kwa kweli, hakujiacha mwenyewe bila ushahidi kwa kuwa alitenda mema,+ akiwapa ninyi mvua+ kutoka mbinguni na majira yenye kuzaa matunda, akijaza mioyo yenu kikamili kwa chakula na uchangamfu.”+
35 Nyika na nchi isiyo na maji itafurahi;+ na nchi tambarare ya jangwani itakuwa na shangwe na kuchanua maua kama zafarani.+
17 ijapokuwa, kwa kweli, hakujiacha mwenyewe bila ushahidi kwa kuwa alitenda mema,+ akiwapa ninyi mvua+ kutoka mbinguni na majira yenye kuzaa matunda, akijaza mioyo yenu kikamili kwa chakula na uchangamfu.”+