Zaburi 42:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Wakati wa mchana Yehova ataamuru fadhili zake zenye upendo,+Na wakati wa usiku wimbo wake utakuwa nami;+Kutakuwako sala kwa Mungu wa uhai wangu.+ Zaburi 71:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Uwe kwangu ngome ya mwamba ya kuingia ndani daima.+Utoe amri ili kuniokoa,+Kwa maana wewe ni mwamba wangu na ngome yangu.+ Isaya 40:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 lakini wale wanaomtumaini+ Yehova watapata nguvu mpya.+ Wataruka juu kwa mabawa kama tai.+ Watakimbia wala hawatazimia; watatembea wala hawatachoka.”+
8 Wakati wa mchana Yehova ataamuru fadhili zake zenye upendo,+Na wakati wa usiku wimbo wake utakuwa nami;+Kutakuwako sala kwa Mungu wa uhai wangu.+
3 Uwe kwangu ngome ya mwamba ya kuingia ndani daima.+Utoe amri ili kuniokoa,+Kwa maana wewe ni mwamba wangu na ngome yangu.+
31 lakini wale wanaomtumaini+ Yehova watapata nguvu mpya.+ Wataruka juu kwa mabawa kama tai.+ Watakimbia wala hawatazimia; watatembea wala hawatachoka.”+