Yeremia 12:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Wewe ni mwadilifu,+ Ee Yehova, ninapokuletea lalamiko langu, kwa kweli ninaposema nawe hata kuhusu mambo ya hukumu. Kwa nini njia ya waovu ndiyo imefanikiwa,+ kwamba wale wote wanaofanya hila ndio hawana wasiwasi? Waebrania 12:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Lakini ikiwa ninyi hamna nidhamu ambayo wote wameishiriki, kwa kweli ninyi ni watoto haramu,+ wala si wana.
12 Wewe ni mwadilifu,+ Ee Yehova, ninapokuletea lalamiko langu, kwa kweli ninaposema nawe hata kuhusu mambo ya hukumu. Kwa nini njia ya waovu ndiyo imefanikiwa,+ kwamba wale wote wanaofanya hila ndio hawana wasiwasi?
8 Lakini ikiwa ninyi hamna nidhamu ambayo wote wameishiriki, kwa kweli ninyi ni watoto haramu,+ wala si wana.