Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 17:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 “Nami nitatimiza agano langu kati yangu mimi na wewe+ na uzao wako baada yako kulingana na vizazi vyao kuwa agano la mpaka wakati usio na kipimo,+ ili kujionyesha mwenyewe kuwa Mungu kwako na kwa uzao wako baada yako.+

  • Mambo ya Walawi 26:45
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 45 Nami nitakumbuka kwa ajili yao lile agano la mababu+ zao ambao niliwatoa katika nchi ya Misri machoni pa mataifa,+ ili nijionyeshe kuwa Mungu wao. Mimi ni Yehova.’”

  • Zaburi 105:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Agano ambalo alifanya na Abrahamu,+

      Na ahadi yake yenye kiapo aliyomwapia Isaka,+

  • Zaburi 106:45
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 45 Naye akalikumbuka agano lake juu yao,+

      Naye akajuta kulingana na wingi wa fadhili zake kuu zenye upendo.+

  • Yeremia 33:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 vivyo hivyo agano langu linaweza kuvunjwa pamoja na Daudi mtumishi wangu+ ili asiwe na mwana anayetawala akiwa mfalme juu ya kiti chake cha ufalme;+ pia pamoja na makuhani, Walawi, wahudumu wangu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki