Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 21:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Naye ataletwa kwenye uwanja wa makaburi,+

      Na kukesha kutafanywa kwenye kaburi.

  • Zaburi 49:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Na bado mtu wa udongo, ingawa katika heshima, hawezi kuendelea kukaa;+

      Kwa kweli analingana na wanyama ambao wameangamizwa.+

  • Ezekieli 31:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 ili wowote kati ya miti iliyonyweshwa maji vizuri usipate kuwa na kimo kirefu, au kuweka vilele vyake kati ya mawingu, na ili wowote ule unaokunywa maji usiweze kusimama juu yake kwa kimo, kwa maana yote hiyo hakika itatolewa ife,+ kwenda kwa nchi iliyo chini,+ katikati ya wana wa binadamu, kwa wale wanaoshuka kuingia shimoni.’

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki