1 Mambo ya Nyakati 15:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Daudi akawaambia wakuu wa Walawi wawaweke ndugu zao waimbaji+ wakiwa na vyombo vya nyimbo,+ vinanda+ na vinubi+ na matoazi,+ wakipiga kwa sauti ili sauti ya kushangilia itokee. Zaburi 68:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Waimbaji walitangulia mbele, wapiga-vinanda wakawafuata;+Katikati yao palikuwa na wanawali wakipiga matari.+ Zaburi 150:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Msifuni kwa matari+ na kwa dansi ya mzunguko.+Msifuni kwa vinanda+ na zumari.+
16 Daudi akawaambia wakuu wa Walawi wawaweke ndugu zao waimbaji+ wakiwa na vyombo vya nyimbo,+ vinanda+ na vinubi+ na matoazi,+ wakipiga kwa sauti ili sauti ya kushangilia itokee.
25 Waimbaji walitangulia mbele, wapiga-vinanda wakawafuata;+Katikati yao palikuwa na wanawali wakipiga matari.+