Ayubu 17:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Na jicho langu linaingia giza kutokana na usumbufu+Na viungo vyangu vyote ni kama kivuli. Zaburi 38:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Moyo wangu mwenyewe umepiga-piga kwa nguvu, nguvu zangu zimeniacha,Na nuru ya macho yangu mwenyewe haiko pamoja nami.+ Zaburi 42:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Machozi yangu yamekuwa chakula changu mchana na usiku,+Huku wakiniambia mchana kutwa: “Mungu wako yuko wapi?”+ Maombolezo 3:49 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 49 Jicho langu limemwagika nalo halitatulia, hivi kwamba hakuna mapumziko,+
10 Moyo wangu mwenyewe umepiga-piga kwa nguvu, nguvu zangu zimeniacha,Na nuru ya macho yangu mwenyewe haiko pamoja nami.+
3 Machozi yangu yamekuwa chakula changu mchana na usiku,+Huku wakiniambia mchana kutwa: “Mungu wako yuko wapi?”+