Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 38:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Na ni nani aliyeizuia bahari kwa milango,+

      Iliyoanza kwenda kama katika wakati ilipotoka katika tumbo la uzazi;

  • Zaburi 107:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Huituliza dhoruba ya upepo ikawa kimya,+

      Hivi kwamba mawimbi ya bahari hukaa kimya.+

  • Yeremia 31:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Yehova, Mpaji wa jua kwa ajili ya nuru wakati wa mchana,+ sheria+ za mwezi+ na nyota kwa ajili ya nuru wakati wa usiku,+ Yeye anayeichafua bahari ili mawimbi yake yawe na mchafuko,+ Yeye ambaye jina lake ni Yehova wa majeshi,+ amesema hivi:

  • Nahumu 1:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Anakemea bahari,+ naye huikausha; huikausha mito yote.+

      Bashani na Karmeli zimekauka,+ na ua la Lebanoni limekauka.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki