Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 25:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Ee Mungu wangu, nimekutegemea wewe;+

      Ee nisione aibu.

      Adui zangu na wasishangilie juu yangu.+

  • Zaburi 35:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Wale ambao ni adui zangu bila sababu yoyote wasishangilie juu yangu;+

      Nao wale wanaonichukia bila sababu, wasikonyeze jicho.+

  • Zaburi 38:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Kwa maana nilisema: “Kama sivyo watashangilia kwa sababu yangu;+

      Mguu wangu uliposonga kwa kuyumba-yumba,+ hakika walijivuna sana dhidi yangu.”+

  • Maombolezo 1:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Nalia juu ya mambo hayo kama mwanamke.+ Jicho langu, jicho langu linatiririka maji.+

      Kwa maana mfariji amekuwa mbali sana nami, mtu wa kuiburudisha nafsi yangu.

      Wanangu wamefanywa ukiwa,+ kwa maana adui amejivuna sana.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki