Zaburi 25:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Ee Mungu wangu, nimekutegemea wewe;+Ee nisione aibu.Adui zangu na wasishangilie juu yangu.+ Zaburi 35:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Wale ambao ni adui zangu bila sababu yoyote wasishangilie juu yangu;+Nao wale wanaonichukia bila sababu, wasikonyeze jicho.+ Zaburi 38:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kwa maana nilisema: “Kama sivyo watashangilia kwa sababu yangu;+Mguu wangu uliposonga kwa kuyumba-yumba,+ hakika walijivuna sana dhidi yangu.”+ Maombolezo 1:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Nalia juu ya mambo hayo kama mwanamke.+ Jicho langu, jicho langu linatiririka maji.+Kwa maana mfariji amekuwa mbali sana nami, mtu wa kuiburudisha nafsi yangu.Wanangu wamefanywa ukiwa,+ kwa maana adui amejivuna sana.+
19 Wale ambao ni adui zangu bila sababu yoyote wasishangilie juu yangu;+Nao wale wanaonichukia bila sababu, wasikonyeze jicho.+
16 Kwa maana nilisema: “Kama sivyo watashangilia kwa sababu yangu;+Mguu wangu uliposonga kwa kuyumba-yumba,+ hakika walijivuna sana dhidi yangu.”+
16 Nalia juu ya mambo hayo kama mwanamke.+ Jicho langu, jicho langu linatiririka maji.+Kwa maana mfariji amekuwa mbali sana nami, mtu wa kuiburudisha nafsi yangu.Wanangu wamefanywa ukiwa,+ kwa maana adui amejivuna sana.+