Zaburi 64:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Ambao wamenoa ulimi wao kama upanga,+Ambao wameulenga mshale wao, maneno machungu.+ Isaya 54:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Silaha yoyote itakayofanywa juu yako haitafanikiwa,+ na ulimi wowote utakaoinuka juu yako katika hukumu wewe utauhukumu.+ Hilo ndilo fungu la urithi la watumishi wa Yehova,+ na uadilifu wao ni kutoka kwangu,” asema Yehova.+
17 Silaha yoyote itakayofanywa juu yako haitafanikiwa,+ na ulimi wowote utakaoinuka juu yako katika hukumu wewe utauhukumu.+ Hilo ndilo fungu la urithi la watumishi wa Yehova,+ na uadilifu wao ni kutoka kwangu,” asema Yehova.+