Ayubu 35:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Ni Yeye anayetufundisha+ sisi kuliko wanyama wa dunia,+Naye anatufanya tuwe na hekima kuliko hata viumbe vinavyoruka vya mbinguni. Zaburi 25:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Yehova ni mwema na mnyoofu.+Ndiyo sababu yeye huwafundisha watenda-dhambi katika ile njia.+ Isaya 28:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Na mtu humrekebisha+ kulingana na lililo sawa. Mungu wake mwenyewe humfundisha.+ Yohana 6:45 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 45 Imeandikwa katika Manabii, ‘Na wote watafundishwa na Yehova.’+ Kila mtu ambaye amesikia kutoka kwa Baba na ambaye amejifunza huja kwangu.+
11 Ni Yeye anayetufundisha+ sisi kuliko wanyama wa dunia,+Naye anatufanya tuwe na hekima kuliko hata viumbe vinavyoruka vya mbinguni.
45 Imeandikwa katika Manabii, ‘Na wote watafundishwa na Yehova.’+ Kila mtu ambaye amesikia kutoka kwa Baba na ambaye amejifunza huja kwangu.+