Zaburi 50:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Yule anayetoa shukrani zikiwa dhabihu yake ndiye anayenitukuza;+Naye anayedumisha njia iliyowekwa,Nitamfanya aone wokovu wa Mungu.”+ Zaburi 100:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Ingieni katika malango yake mkiwa na shukrani,+Katika nyua zake mkiwa na sifa.+Mtoleeni shukrani, libarikini jina lake.+
23 Yule anayetoa shukrani zikiwa dhabihu yake ndiye anayenitukuza;+Naye anayedumisha njia iliyowekwa,Nitamfanya aone wokovu wa Mungu.”+
4 Ingieni katika malango yake mkiwa na shukrani,+Katika nyua zake mkiwa na sifa.+Mtoleeni shukrani, libarikini jina lake.+