Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 16:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Na wakati uleule miti ya msituni na ishangilie kwa ajili ya Yehova,+

      Kwa maana amekuja kuihukumu dunia.+

  • Zaburi 148:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Enyi milima, nanyi vilima vyote,+

      Enyi miti ya matunda, nanyi mierezi yote,+

  • Isaya 55:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “Kwa maana ninyi mtaenda kwa kushangilia,+ nanyi mtaingizwa ndani kwa amani.+ Milima na vilima vitachangamka mbele yenu kwa vigelegele vya shangwe,+ nayo miti ya porini itapiga makofi yake.+

  • Ezekieli 34:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Na mti wa shambani utatoa matunda+ yake, na nchi yenyewe itatoa mazao+ yake, nao kwa kweli watakuwa katika nchi yao kwa usalama.+ Nao watalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova nitakapovunja nira+ zao na kuwakomboa kutoka katika mkono wa wale waliokuwa wakiwatumia kama watumwa.+

  • Ezekieli 36:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Nami hakika nitafanya matunda ya mti yawe tele, na mazao ya shamba, ili msishutumiwe tena na mataifa kwa sababu ya njaa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki