12 “Kwa maana ninyi mtaenda kwa kushangilia,+ nanyi mtaingizwa ndani kwa amani.+ Milima na vilima vitachangamka mbele yenu kwa vigelegele vya shangwe,+ nayo miti ya porini itapiga makofi yake.+
27 Na mti wa shambani utatoa matunda+ yake, na nchi yenyewe itatoa mazao+ yake, nao kwa kweli watakuwa katika nchi yao kwa usalama.+ Nao watalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova nitakapovunja nira+ zao na kuwakomboa kutoka katika mkono wa wale waliokuwa wakiwatumia kama watumwa.+