Zaburi 24:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Dunia na vyote vinavyoijaza ni vya Yehova,+Nchi yenye kuzaa na wale wanaokaa ndani yake.+ Zaburi 33:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Wale wote walio wa dunia na wamwogope Yehova.+Wote wanaokaa katika nchi yenye kuzaa na wamhofu.+ Zaburi 96:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Mbele za Yehova. Kwa maana amekuja;+Kwa maana amekuja kuihukumu dunia.+Ataihukumu kwa uadilifu nchi yenye kuzaa+Na vikundi vya watu kwa uaminifu.+
13 Mbele za Yehova. Kwa maana amekuja;+Kwa maana amekuja kuihukumu dunia.+Ataihukumu kwa uadilifu nchi yenye kuzaa+Na vikundi vya watu kwa uaminifu.+