Ayubu 30:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Ngozi yangu ikawa nyeusi+ na kuanguka kutoka kwangu,Na mifupa yangu ikawaka moto kutokana na ukavu. Zaburi 31:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa maana uhai wangu umefikia mwisho kwa huzuni,+Na miaka yangu kwa kuugua.+Kwa sababu ya kosa langu nguvu zangu zimejikwaa,+Na mifupa yangu imekuwa dhaifu.+ Maombolezo 1:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kutoka juu ameleta moto katika mifupa yangu,+ naye anatiisha kila mmoja wao.Ametandaza wavu kwa ajili ya miguu yangu.+ Amenigeuza nirudi nyuma.Amenifanya kuwa mwanamke aliye katika hali ya ukiwa. Siku nzima mimi ni mgonjwa.+
30 Ngozi yangu ikawa nyeusi+ na kuanguka kutoka kwangu,Na mifupa yangu ikawaka moto kutokana na ukavu.
10 Kwa maana uhai wangu umefikia mwisho kwa huzuni,+Na miaka yangu kwa kuugua.+Kwa sababu ya kosa langu nguvu zangu zimejikwaa,+Na mifupa yangu imekuwa dhaifu.+
13 Kutoka juu ameleta moto katika mifupa yangu,+ naye anatiisha kila mmoja wao.Ametandaza wavu kwa ajili ya miguu yangu.+ Amenigeuza nirudi nyuma.Amenifanya kuwa mwanamke aliye katika hali ya ukiwa. Siku nzima mimi ni mgonjwa.+